Translate

Wednesday, October 19, 2016

'Kwa hapa Bukoba bado sijapata Shule' Mama wa mtoto anayetaja majina ya ...

Baby Haitham with mummy.Parents be inspired!
Hawa ndio wale madarasani huwaoni wakisoma, halafu ndo kila kukicha wakwanza darasani. Nyie wengine mmeshinda usiku kucha mki cram notes. Haitham anawazazi wazuri kweli, wameweza kugundua akili yake mapema sana, na inavyo onekana wanahangaika kumuendeleza ipasavyo.
Amakweli Mwenyezi Mungu Humjaalia kila mtu na kipaji chake.  Tunamuombea Mwenyezi Mungu amzidishie baraka zake na amfungulie milango yote ya kheri. 


No comments:

Post a Comment