Translate

Friday, June 24, 2016

Ismail Kambi Mshindi wa Mashindano ya Quran

Hongera Ismail Kambi kwa kushinda mashindano ya Afrika Mashariki! 
Mwenyezi Mungu akuzidishie Elimu ya Dini na ya Dunia.
Na washiriki wote pia ni washindi mbele ya Allah. Mwenyezi Mungu awazidishie Elimu ya Dini na ya Dunia.

I just luv this month. Yaani, ni full mahaba kwa Allah! Mashindano mengine ya kimataifa ya Qur'an. yameanza leo usiku msikiti wa mtoro baada ya Taraweh, na yatamalizika Jumapili ukumbi wa diamond Jubilee. Mashindano haya yatavuka mipaka ya Africa.
Good luck to all the participants of the Qur'an Competition that started tonight! Your all winners in front of Allah.

No comments:

Post a Comment