Translate

Tuesday, May 5, 2015

Qaswida ya Leo kutoka U.A.E - Ahmed Bukhatir

♦O Most Magnificent! ♦ يا عظيم ♦ Ahmed Bukhatir ♦ Ya Illahi♦


Ahmed Bukhatir kazaliwa Sharjah, United Arab Emirates tarehe 16 October 1975. Ni Mtoto wa tano kati ya watoto Kumi. 

Bukhatir alianza kuimba Qaswida toka akiwa na miaka 20, na akatoa album yake ya kwanza mwaka 2000. Alivyo kuwa na miaka 29, alikuwa mkurugenzi wa kampuni ya Mahusiano ya Umma ya Promax ME.Sasa ni Mwenyekit wa kampuni ya McFadden Group of Companies, yenye kushughulika na mambo ya ujenzi. 

Read his Biography in English Here>>>

No comments:

Post a Comment