Translate

Tuesday, December 23, 2014

Miji mikubwa iliyo anguka - Pompeii

Leo tuna tembelea Ulaya, specifically an ancient Roman town near Naples in the Italian Region of Campania called Pompei. Huu Mji pamoja na miji ya karibu Herculaneum na vimji vingine, vilifunikwa na meter 4-6 za majivu na mawe madogo, muda Mlima Vesuvius ulivyo ripuka na volcano. 

Kabla huja anza kuwaza kama ndo Sodoma na Gomora, ntakujibu, sio Sodoma na Gomora kwa sababu mbili za msingi. Hii Volcano ili errupt miaka 79 baada ya kuzaliwa kwa nabii issa(Yesu), na pia sehemu yake sio maeneo ya uarabuni. Huu Mji ulikuwa na watu 11,000, system ya maji ya kisasa, system ya kutoa maji machafu ambayo hata uingereza walikuja kuwa nayo miaka 1000 baadae, na sehemu zao za kutembea zilikuwa zimejengwa na aina ya jiwe, ambayo usiku mwezi ukitoka yale mawe yana waka mwanga kwa ku reflect mwanga wa mwezi. Yaani walikuwa na taa za barabarani zenye kuwashwa na mwezi, Upo hapo?

Sasa mji kama huu, na teknolojia yao yote, walikuwa hawajui kitu kinaitwa Volcano? Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, mripuko ulipo anza, watu badala ya kukimbia mji, walikimbilia makwao. Kweli sisi binadamu hatujui mpaka tufundishwe na baba yetu Adam ndo aliyetutangulia na somo directly kutoka kwa Mola wa viumbe vyote, imechukua watu kufa, ndo tumejua volcano ni nini. Inakufanya mtu ufikiri, siri gani zingine za dunia hatuzijui?
Anywho, let me stop talking and let you watch how it went down on the Last Day of Pompeii. 
Enjoy!

No comments:

Post a Comment