Translate

Saturday, October 18, 2014

Professor Ali Mazrui Afariki Dunia!

Professor Ali Al-Amin Mazrui afariki dunia Marekani usiku wa October 12, 2014.
Mazishi yatafanyika Mazrui Cemetery Mombasa baada ya mwili kufika. Mwenyezi Mungu Amlaze mahali pema peponi. Inna lillahi waina illahi rajiun.

Soma Habari yake Zaidi BBC...

No comments:

Post a Comment