Translate

Wednesday, October 8, 2014

Do you Walk?

Faida za Kutembea....

1, Punguza Stress, Hasira, Kuchoka na Kuchanganyikiwa
2. Punguza ugonjwa wa macho
3.Punguza hatari ya kupata ugonjwa wa kusahau (Alzheimers)
4.Punguza kuuguwa kwa magonjwa madogo madogo
5. Boresha mapigo ya moyo
6.Sawazisha Blood pressure yako
7.Jenga mifupa ya mwili na misuli
8.Punguza hatari ya kupata saratani ya utumbo mkubwa.
9.Boresha balance yako ya mwili.
10. Na Mwisho Yayusha kabisa mafuta kwenye mwili. Toa Unene.

No comments:

Post a Comment