Translate

Thursday, July 24, 2014

Chakula Bora cha Leo - Tikiti Maji

 Haya Ramadhani ndo hiyo inaishia ishia, tuangalie faida za kula Tikiti Maji.
1. Ina zuiwa Pumu - Ina asimilia kubwa ya Vitamin C
2. Ina punguza Blood Pressure
3. Ina zuia Saratani
4. Ina saidia kupata choo kizuri(Tena kwa ramadhani mambo si ndo hayo)
5. Ina kupatia maji ya kutosha ili mwili uweze kujiendesha vizuri zaidi.
6. Ina zuia uvimbe wa mwili - Ina Choline ambayo husaidia mwili kulala, misuli, kujifunza na kuwa na kumbukumbu nzuri.
7. Huzuia Maumivu ya Misuli - Ina L-citrulline ambayo husaidia na kupunguza maumivu ya Misuli.
8. Ngozi nzuri - Ina Vitamin A ambayo inasaidi kuimarisha ngozi na nywele.


No comments:

Post a Comment