Translate

Friday, July 20, 2012

Boti ya zama Tanzania.

Inasikitisha tuna anza mwezi huu mtukufu na huzuni. Boti ya MV Skagit inayo endeshwa na kampuni ya Seagull iliyokuwa inatoka Dar kwenda Zanzibar,yazama na inasemekana watu 31 wamefariki na miili iliyo patikana mpaka sasa ni 24. Kisa cha kuzama ni hali ya hewa mbaya na mawingu kuwa makubwa kusababisha boti kupinduka.


Hali ilivyo kuwa baada ya boti kupinduka.
  

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea
maiti.
(Picha kwa hisani ya michuzi)
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.  "Kwakweli kwa mwenyezi mungu ndio tunakotoka na kwake ndio tutarejea."
Inasikitisha zaidi ukipata habari kuwa wengi walio fariki ni watoto. Mwenyezi mungu awasadie ndugu na jamaa waliopoteza watu kwenye hii ajali, na azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.

No comments:

Post a Comment